Fr. 18.50

UWEZO WA MUNGU(Swahili Edition)

Swahili · Paperback / Softback

Shipping usually within 3 to 5 weeks (title will be specially ordered)

Description

Read more










Kwani mimi binafsi nimepata furaha na raha katika uhuru kutoka kwa miaka saba ya magonjwa na maumivu, ili niwe mtumishi mwenye uwezo anayefanana na Bwana, nilifunga na kuomba kwa siku na nyakati kadha baada ya kuitwa ili niwe mtumishi wa Bwana. Yesu anatuambia katika Marko 9:23, "'Ukiweza?' Yote yawezekana kwake aaminiye." Pia niliamini na kuomba kwa sababu nilishikilia ahadi ya Yesu, "[Yeye] aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba" (Yohana 14:12). Kwa kupitia Mikutano ya Uvuvio ya kila mwaka, Mungu ametuonyesha ishara na maajabu ya kushangaza na ametupa uponyaji na majibu yasiyoweza kuhesabika. Zaidi ya hayo, wakati wa wiki ya pili ya Mkutano wa Uvuvio wa mwaka wa 2013, Mungu aliweka msisitizo wa dhihirisho la uwezo wake juu ya vipofu, viwete, viziwi na mabubu.


Product details

Authors Jaerock Lee
Publisher Urim Books USA
 
Languages Swahili
Product format Paperback / Softback
Released 21.09.2023
 
EAN 9791126311958
ISBN 979-11-263-1195-8
No. of pages 218
Dimensions 140 mm x 210 mm x 12 mm
Weight 249 g
Subject Non-fiction book > Philosophy, religion > Religion: general, reference works

Customer reviews

No reviews have been written for this item yet. Write the first review and be helpful to other users when they decide on a purchase.

Write a review

Thumbs up or thumbs down? Write your own review.

For messages to CeDe.ch please use the contact form.

The input fields marked * are obligatory

By submitting this form you agree to our data privacy statement.