Fr. 37.10

Penzi la Damu

Swahili · Paperback / Softback

Shipping usually within 2 to 3 weeks (title will be printed to order)

Description

Read more










Mstahamilivu hula mbivu, mtaka cha uvunguni sharti ainame, na mchumia juani hulia kivulini. Ni machache ya maadili yamuongozayo binti Malaika katika safari yake ya kutimiza ndoto zake. Kujiendeleza kielimu ndiyo ndoto yake kuu. Kwa vile Mungu hamtupi mja wake, anabahatika kwenda ughaibuni kitaaluma. Ni safari inayomtenganisha na mpenzi wake, Ben. Lakini Ben anaahidi kumsubiri hadi afuzu masomo yake. Katika kipindi hiki cha utengano, dunia inawapangia mambo mengine kabisa, ni utengano unaotishia kulisumu penzi lao. Majaribu hayeshi, vishawishi ni vingi. Penzi lao linayumba, linatishia kudumbukia kwenye dimbwi la damu. Lakini Malaika haliachii penzi lake kwa Ben, analipigania kishujaa. Ben pia anaingia vitani kulipigania penzi la Malaika. Je, watashinda vita hivi vya kimapenzi?

About the author










Anna Manyanza ni mwanafasihi wa riwaya na hekaya za watoto. Riwaya yake ya kwanza, 'Penzi La Damu', imeshinda Tuzo ya Kiswahili ya Mabati -Cornell ya Fasihi ya Afrika, mwaka 2015.

Product details

Authors Anna Manyanza, Anna Samwel Manyanza
Publisher Mkuki Na Nyota Publishers
 
Languages Swahili
Product format Paperback / Softback
Released 01.09.2022
 
EAN 9789987753680
ISBN 978-9987-753-68-0
No. of pages 184
Dimensions 152 mm x 229 mm x 12 mm
Weight 308 g
Subject Fiction > Science fiction, fantasy

Customer reviews

No reviews have been written for this item yet. Write the first review and be helpful to other users when they decide on a purchase.

Write a review

Thumbs up or thumbs down? Write your own review.

For messages to CeDe.ch please use the contact form.

The input fields marked * are obligatory

By submitting this form you agree to our data privacy statement.